7 “Na kwa malaika+ wa kutaniko katika Filadelfia andika: Haya ndiyo mambo anayosema yeye aliye mtakatifu,+ aliye wa kweli,+ aliye na ufunguo wa Daudi,+ ambaye hufungua hivi kwamba hakuna yeyote atakayefunga, na ambaye hufunga hivi kwamba hakuna yeyote anayefungua,