Mathayo 15:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Hayo ndiyo mambo yanayomtia mtu unajisi; lakini kula bila kunawa mikono hakumtii mtu unajisi.”+ Waroma 1:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Na kama vile ambavyo hawakukubali kumjua Mungu katika ujuzi sahihi,+ Mungu aliwaacha katika hali ya akili iliyokataliwa,+ ili wafanye mambo yasiyofaa,+
28 Na kama vile ambavyo hawakukubali kumjua Mungu katika ujuzi sahihi,+ Mungu aliwaacha katika hali ya akili iliyokataliwa,+ ili wafanye mambo yasiyofaa,+