Marko 8:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Naye akamshika mkono yule mtu aliyekuwa kipofu, akamtoa nje ya kijiji, na, baada ya kutema mate+ juu ya macho yake, Yesu akaweka mikono juu yake na kuanza kumuuliza: “Je, unaona kitu chochote?” Yohana 9:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Baada ya kusema hayo, akatema mate chini akafanyiza udongo kwa mate hayo, akauweka udongo wake juu ya macho ya mtu huyo+
23 Naye akamshika mkono yule mtu aliyekuwa kipofu, akamtoa nje ya kijiji, na, baada ya kutema mate+ juu ya macho yake, Yesu akaweka mikono juu yake na kuanza kumuuliza: “Je, unaona kitu chochote?”
6 Baada ya kusema hayo, akatema mate chini akafanyiza udongo kwa mate hayo, akauweka udongo wake juu ya macho ya mtu huyo+