Yohana 11:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Kwa hiyo, Yesu alipomwona akilia na Wayahudi waliokuja pamoja naye wakilia, akaugua rohoni na kutaabika;+ Yohana 11:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Kwa hiyo Yesu, baada ya kuugua tena ndani yake, akaja kwenye lile kaburi.+ Kwa kweli, lilikuwa pango, na jiwe+ lilikuwa limelilalia.
33 Kwa hiyo, Yesu alipomwona akilia na Wayahudi waliokuja pamoja naye wakilia, akaugua rohoni na kutaabika;+
38 Kwa hiyo Yesu, baada ya kuugua tena ndani yake, akaja kwenye lile kaburi.+ Kwa kweli, lilikuwa pango, na jiwe+ lilikuwa limelilalia.