45 Lakini baada ya kwenda zake mtu huyo akaanza kutangaza sana juu ya hilo na kusambaza jambo hilo kotekote, hivi kwamba Yesu hakuweza tena kuingia waziwazi katika jiji, lakini akakaa nje katika mahali pasipo na watu. Na bado wakaendelea kumjia kutoka pande zote.+