4 Petro akamjibu, akamwambia Yesu: “Bwana, ni vizuri kwetu kuwa hapa. Ukitaka, nitasimamisha mahema matatu hapa, moja lako na moja la Musa na moja la Eliya.”+
33 Nao walipokuwa wakitengwa kutoka kwake, Petro akamwambia Yesu: “Mwalimu, ni vizuri kwetu kuwa hapa, kwa hiyo na tusimamishe mahema matatu, moja lako na moja la Musa na moja la Eliya,” naye hakuwa akitambua alilokuwa akisema.+