Luka 9:45 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 Lakini wao wakashindwa kuelewa maneno hayo. Kwa kweli, yalifichwa ili wasipate kuyafahamu, nao waliogopa kumuuliza juu ya maneno hayo.+ Yohana 16:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Yesu alijua+ walikuwa wanataka kumuuliza, kwa hiyo akawaambia: “Je, mnaulizana kati yenu wenyewe juu ya hili, kwa sababu nilisema, Baada ya muda kidogo hamtaniona, na, tena, baada ya muda kidogo mtaniona?
45 Lakini wao wakashindwa kuelewa maneno hayo. Kwa kweli, yalifichwa ili wasipate kuyafahamu, nao waliogopa kumuuliza juu ya maneno hayo.+
19 Yesu alijua+ walikuwa wanataka kumuuliza, kwa hiyo akawaambia: “Je, mnaulizana kati yenu wenyewe juu ya hili, kwa sababu nilisema, Baada ya muda kidogo hamtaniona, na, tena, baada ya muda kidogo mtaniona?