28 Na msiwaogope+ wale ambao wanaua mwili lakini hawawezi kuiua nafsi; lakini badala ya hivyo mwogopeni+ yeye anayeweza kuangamiza vyote viwili nafsi na mwili katika Gehena.*+
5 Lakini nitawaonyesha ninyi yule mnayepaswa kumwogopa: Mwogopeni yule+ ambaye baada ya kuua ana mamlaka ya kutupa ndani ya Gehena.*+ Ndiyo, ninawaambia ninyi, Mwogopeni+ Huyo.