Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 29:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Kutetemeshwa na wanadamu ndiko huleta mtego,+ lakini yeye anayemtegemea Yehova atalindwa.+

  • Isaya 51:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Mimi—mimi mwenyewe ndiye Yule anayewafariji ninyi.+

      “Wewe ni nani kwamba umwogope mwanadamu anayeweza kufa ambaye atakufa,+ na mwanadamu ambaye atafanywa kuwa majani mabichi tu?+

  • Ezekieli 3:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Nimelifanya paji la uso wako kuwa kama almasi, gumu kuliko jiwe gumu.+ Usiwaogope,+ wala usiingiwe na hofu kwa sababu ya nyuso zao,+ kwa maana wao ni nyumba yenye kuasi.”+

  • Ufunuo 2:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Usiogope mateso ambayo yanakaribia kukupata.+ Tazama! Ibilisi+ ataendelea kuwatupa gerezani baadhi yenu ili mjaribiwe kwa ukamili,+ na ili muwe na dhiki+ siku kumi. Uwe mwaminifu hata kufikia kifo,+ nami nitakupa taji la uzima.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki