18 Lakini mimi, tazama, leo nimekufanya wewe kuwa jiji lenye ngome na nguzo ya chuma na kuta za shaba+ juu ya nchi yote,+ kuwaelekea wafalme wa Yuda, kuwaelekea wakuu wake, kuwaelekea makuhani wake na kuwaelekea watu wa nchi hii.+
18 Wale wanaonitesa na wapatwe na aibu,+ lakini mimi binafsi nisipate aibu.+ Waache wao waingiwe na hofu, lakini mimi binafsi nisiingiwe na hofu. Leta juu yao ile siku ya msiba,+ na kuwavunja kwa mvunjiko mara mbili.+