11 Lakini Yehova alikuwa pamoja nami+ kama mwenye nguvu anayetisha.+ Ndiyo sababu wale wanaonitesa watajikwaa nao hawatashinda.+ Hakika watapatwa na aibu kabisa, kwa sababu hawatakuwa wamefanikiwa. Fedheha yao inayodumu mpaka wakati usio na kipimo haitasahauliwa.+