Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 35:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Wale wanaoiwinda nafsi yangu na waone aibu na kufedheheka.+

      Wale wanaonipangia hila nipatwe na msiba na warudishwe nyuma na kufedheheka.+

  • Yeremia 15:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Wewe mwenyewe umejua.+ Ee Yehova, nikumbuke+ na unikazie fikira zako na kulipiza kisasi juu ya watesaji wangu.+ Usiniondolee mbali katika upole wako wa hasira.+ Angalia kwamba ninachukua shutuma kwa ajili yako.+

  • Yeremia 20:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Lakini Yehova alikuwa pamoja nami+ kama mwenye nguvu anayetisha.+ Ndiyo sababu wale wanaonitesa watajikwaa nao hawatashinda.+ Hakika watapatwa na aibu kabisa, kwa sababu hawatakuwa wamefanikiwa. Fedheha yao inayodumu mpaka wakati usio na kipimo haitasahauliwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki