15 Wewe mwenyewe umejua.+ Ee Yehova, nikumbuke+ na unikazie fikira zako na kulipiza kisasi juu ya watesaji wangu.+ Usiniondolee mbali katika upole wako wa hasira.+ Angalia kwamba ninachukua shutuma kwa ajili yako.+
20 “Nami nimekufanya wewe kuwa ukuta wa shaba wenye ngome kwa watu hawa;+ nao hakika watapigana nawe, lakini hawatakushinda.+ Kwa maana mimi niko pamoja nawe, ili kukuokoa na kukukomboa,”+ asema Yehova.
18 Wale wanaonitesa na wapatwe na aibu,+ lakini mimi binafsi nisipate aibu.+ Waache wao waingiwe na hofu, lakini mimi binafsi nisiingiwe na hofu. Leta juu yao ile siku ya msiba,+ na kuwavunja kwa mvunjiko mara mbili.+