Isaya 41:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Usiogope, kwa maana mimi nipo pamoja nawe.+ Usitazame huku na huku, kwa maana mimi ni Mungu wako.+ Nitakutia nguvu.+ Nitakusaidia kwelikweli.+ Nitakushika kwelikweli kwa mkono wangu wa kuume+ wa uadilifu.’+ Matendo 18:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 kwa sababu mimi nipo pamoja na wewe+ na hakuna mtu atakayekushambulia ili kukutendea jambo baya; kwa maana nina watu wengi katika jiji hili.”
10 Usiogope, kwa maana mimi nipo pamoja nawe.+ Usitazame huku na huku, kwa maana mimi ni Mungu wako.+ Nitakutia nguvu.+ Nitakusaidia kwelikweli.+ Nitakushika kwelikweli kwa mkono wangu wa kuume+ wa uadilifu.’+
10 kwa sababu mimi nipo pamoja na wewe+ na hakuna mtu atakayekushambulia ili kukutendea jambo baya; kwa maana nina watu wengi katika jiji hili.”