Kumbukumbu la Torati 33:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Mungu wa nyakati za kale ni mahali pa kujificha,+Na chini kuna mikono yenye kudumu mpaka wakati usio na kipimo.+Naye atawafukuzia mbali adui zako toka mbele yako,+Naye atasema, ‘Waangamize!’+ Zaburi 29:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Yehova atawapa watu wake nguvu kwelikweli.+Yehova atawabariki kwa amani watu wake.+ Zekaria 10:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Nami nitawafanya wawe wakuu katika Yehova,+ nao watatembea huku na huku katika jina lake,’+ asema Yehova.”
27 Mungu wa nyakati za kale ni mahali pa kujificha,+Na chini kuna mikono yenye kudumu mpaka wakati usio na kipimo.+Naye atawafukuzia mbali adui zako toka mbele yako,+Naye atasema, ‘Waangamize!’+
12 Nami nitawafanya wawe wakuu katika Yehova,+ nao watatembea huku na huku katika jina lake,’+ asema Yehova.”