Zaburi 46:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Yehova wa majeshi yuko pamoja nasi;+Mungu wa Yakobo ni kilele chetu salama.+ Sela. Zaburi 90:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 90 Ee Yehova, wewe mwenyewe umekuwa makao yetu halisi+Kwa kizazi baada ya kizazi.+ Zaburi 91:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nitamwambia Yehova: “Wewe ni kimbilio langu na ngome yangu,+Mungu wangu, ambaye nitamtegemea.”+ Zaburi 125:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Yerusalemu—kama vile milima inavyolizunguka pande zote,+Ndivyo Yehova amewazunguka watu wake pande zote+Tangu sasa na mpaka wakati usio na kipimo.+
2 Yerusalemu—kama vile milima inavyolizunguka pande zote,+Ndivyo Yehova amewazunguka watu wake pande zote+Tangu sasa na mpaka wakati usio na kipimo.+