Zaburi 48:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Katika minara ya makao yake Mungu amejulikana kuwa kilele salama.+ Zaburi 125:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Yerusalemu—kama vile milima inavyolizunguka pande zote,+Ndivyo Yehova amewazunguka watu wake pande zote+Tangu sasa na mpaka wakati usio na kipimo.+
2 Yerusalemu—kama vile milima inavyolizunguka pande zote,+Ndivyo Yehova amewazunguka watu wake pande zote+Tangu sasa na mpaka wakati usio na kipimo.+