Zaburi 125:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 125 Wale wanaomtegemea Yehova+Ni kama Mlima Sayuni,+ ambao hauwezi kutikiswa, bali hukaa mpaka wakati usio na kipimo.+ Zekaria 2:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nami mwenyewe nitakuwa kwake,” asema Yehova, “ukuta wa moto kuzunguka pande zote,+ nami nitakuwa utukufu ndani yake.” ’ ”+
125 Wale wanaomtegemea Yehova+Ni kama Mlima Sayuni,+ ambao hauwezi kutikiswa, bali hukaa mpaka wakati usio na kipimo.+
5 Nami mwenyewe nitakuwa kwake,” asema Yehova, “ukuta wa moto kuzunguka pande zote,+ nami nitakuwa utukufu ndani yake.” ’ ”+