Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 48:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Wenye ukuu wa kupendeza, shangwe ya dunia yote,+

      Ni Mlima Sayuni ulioko sehemu za mbali za kaskazini,+

      Mji wa Mfalme Mkuu.+

  • Zaburi 132:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “Hapa ndipo mahali pangu pa kupumzika milele;+

      Nitakaa hapa, kwa maana nimepatamani.+

  • Mika 4:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na mataifa mengi hakika yatakwenda na kusema: “Njooni,+ twendeni juu kwenye mlima wa Yehova na kwenye nyumba ya Mungu wa Yakobo;+ naye atatufundisha njia zake,+ nasi tutatembea katika mapito yake.”+ Kwa maana sheria itatoka katika Sayuni, na neno la Yehova katika Yerusalemu.+

  • Ufunuo 14:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Nami nikaona, na, tazama! Mwana-Kondoo+ amesimama juu ya Mlima Sayuni,+ na pamoja naye 144,000+ wakiwa na jina lake na jina la Baba+ yake limeandikwa juu ya mapaji ya nyuso zao.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki