Zaburi 47:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Mungu amekuwa mfalme juu ya mataifa.+Mungu mwenyewe ameketi juu ya kiti chake kitakatifu cha ufalme.+ Zaburi 135:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Na abarikiwe Yehova kutoka Sayuni,+Anayekaa katika Yerusalemu.+Msifuni Yah!+ Mathayo 5:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 wala kwa dunia, kwa sababu hiyo ni kiti cha miguu yake;+ wala kwa Yerusalemu, kwa sababu hilo ni jiji+ la yule Mfalme mkuu.
8 Mungu amekuwa mfalme juu ya mataifa.+Mungu mwenyewe ameketi juu ya kiti chake kitakatifu cha ufalme.+
35 wala kwa dunia, kwa sababu hiyo ni kiti cha miguu yake;+ wala kwa Yerusalemu, kwa sababu hilo ni jiji+ la yule Mfalme mkuu.