Isaya 66:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 66 Yehova amesema hivi: “Mbingu ni kiti changu cha ufalme,+ na dunia ni kiti cha miguu yangu.+ Iko wapi, basi, nyumba ambayo ninyi mnaweza kunijengea,+ na pako wapi, basi, mahali pa kupumzika kwa ajili yangu?”+ Maombolezo 2:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Lo! jinsi Yehova katika hasira yake anavyomfunika kwa wingu binti Sayuni!+Ameutupa chini uzuri wa Israeli+ kutoka mbinguni mpaka duniani.+Naye hakumbuki kiti cha miguu+ yake katika siku ya hasira yake.
66 Yehova amesema hivi: “Mbingu ni kiti changu cha ufalme,+ na dunia ni kiti cha miguu yangu.+ Iko wapi, basi, nyumba ambayo ninyi mnaweza kunijengea,+ na pako wapi, basi, mahali pa kupumzika kwa ajili yangu?”+
2 Lo! jinsi Yehova katika hasira yake anavyomfunika kwa wingu binti Sayuni!+Ameutupa chini uzuri wa Israeli+ kutoka mbinguni mpaka duniani.+Naye hakumbuki kiti cha miguu+ yake katika siku ya hasira yake.