Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Maombolezo 2
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Maombolezo 2:1

Marejeo

  • +Omb 3:44
  • +Omb 2:15; Eze 16:14
  • +Mt 11:23
  • +1Nya 28:2; Zb 99:5; 132:7; Isa 60:13

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu,

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/2007, uku. 9

    9/1/1988, uku. 26

  • Fahirishi ya Machapisho

    w07 6/1 9

Maombolezo 2:2

Marejeo

  • +Kum 28:30; Omb 2:17; 3:43
  • +Kum 28:52; Mik 5:11
  • +Isa 25:12; 26:5
  • +Zb 89:39; Isa 47:6; Eze 21:27
  • +Isa 39:7; 43:28

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    9/1/1988, uku. 26

Maombolezo 2:3

Marejeo

  • +Ayu 16:15; Zb 75:10
  • +Zb 74:11
  • +Kum 32:22; 2Fa 25:9; Zb 89:46; Isa 42:25; Yer 4:4; 7:20; Omb 4:11; Ebr 12:29

Maombolezo 2:4

Marejeo

  • +Ayu 6:4; Isa 63:10; Yer 21:5; 30:14
  • +Kut 15:6
  • +Kum 28:63
  • +2Fa 25:21; Omb 5:12
  • +Isa 42:25; Yer 4:4
  • +Yer 10:20

Maombolezo 2:5

Marejeo

  • +Yer 30:14
  • +2Nya 36:16
  • +2Fa 25:9; Yer 52:13; Ho. 8:14
  • +Yer 5:17
  • +Eze 2:10

Maombolezo 2:6

Marejeo

  • +2Nya 36:19; Zb 78:60; Isa 63:18; 64:11
  • +Zb 80:12; 89:40; Isa 1:8
  • +Omb 1:4; Ho. 2:11; Sef 3:18
  • +Ayu 34:19; Yer 52:24; Ro 2:11

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/2007, uku. 9

    9/1/1988, kur. 26-27

  • Fahirishi ya Machapisho

    w07 6/1 9

Maombolezo 2:7

Marejeo

  • +Yer 52:18
  • +Law 26:31; Yer 26:6; 52:13; Eze 24:21; Mik 3:12
  • +2Nya 36:19; Yer 32:29; Ho. 8:14
  • +Zb 74:4

Maombolezo 2:8

Marejeo

  • +2Fa 25:10; Yer 39:8
  • +2Fa 21:13; Isa 28:17; Amo 7:7
  • +Ayu 13:21; Omb 2:2
  • +Isa 3:26

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Upeo wa Ufunuo, uku. 162

  • Fahirishi ya Machapisho

    re 162

Maombolezo 2:9

Marejeo

  • +Ne 1:3; Yer 14:2
  • +Kum 28:36; 2Fa 24:15; 25:7; Isa 39:7; Yer 52:9; Omb 1:6; 4:20; Eze 12:13; Da 1:3
  • +2Nya 15:3; Eze 7:26
  • +Zb 74:9; Yer 23:16; Omb 2:14; Eze 13:3

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Yeremia, uku. 73

  • Fahirishi ya Machapisho

    jr 73

Maombolezo 2:10

Marejeo

  • +Isa 3:26; Yer 8:14; Omb 3:28; Amo 5:13
  • +Yos 7:6; Ayu 2:12
  • +Yer 6:26; Eze 7:18; 27:31
  • +Omb 1:4

Maombolezo 2:11

Marejeo

  • +Zb 6:7; Omb 1:16; 3:48
  • +Omb 1:20
  • +Ayu 30:16
  • +Isa 22:4; Yer 14:17
  • +Yer 11:22; Omb 2:19; 4:4

Maombolezo 2:12

Marejeo

  • +Kum 28:51; 2Fa 25:3; Isa 3:1; Yer 18:21

Maombolezo 2:13

Marejeo

  • +Omb 1:12
  • +Isa 51:19
  • +Yer 8:21; 14:17; Da 9:12
  • +Yer 30:12

Maombolezo 2:14

Marejeo

  • +Yer 2:8; 5:12, 31; 23:16; 27:14; 29:9; Eze 13:2
  • +Isa 58:1; Yer 23:14
  • +Yer 23:32; 27:9; Mik 3:5; Sef 3:4

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    9/1/1988, uku. 26

Maombolezo 2:15

Marejeo

  • +Eze 25:6; Nah 3:19
  • +1Fa 9:8; Yer 18:16; 19:8; 25:9; Mik 6:16
  • +Zb 22:7; 44:14; Mt 27:39; Mk 15:29
  • +Zb 48:2; 50:2; Eze 16:14

Maombolezo 2:16

Marejeo

  • +Ayu 16:10; Zb 22:13; 35:21; 109:2
  • +Ayu 16:9; Zb 37:12; Mdo 7:54
  • +Isa 49:19; Yer 51:34
  • +Mik 4:11
  • +Zb 35:21; Oba 13

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/2007, uku. 9

  • Fahirishi ya Machapisho

    w07 6/1 9

Maombolezo 2:17

Marejeo

  • +Yer 18:11; Mik 2:3
  • +2Fa 23:27; Isa 46:10; 55:11
  • +Law 26:17; Kum 28:15
  • +Eze 5:11; 7:9; 9:10
  • +Zb 38:16; 89:42
  • +Omb 1:5

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Yeremia, uku. 154

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/2007, uku. 9

  • Fahirishi ya Machapisho

    jr 154; w07 6/1 9

Maombolezo 2:18

Marejeo

  • +Zb 119:145
  • +Omb 2:8
  • +Yer 9:1; 13:17; 14:17; Omb 1:16

Maombolezo 2:19

Marejeo

  • +Zb 119:148
  • +1Sa 1:15; Zb 62:8; 142:2
  • +Zb 88:1; Da 9:3
  • +1Fa 8:54
  • +Isa 51:20; Omb 4:9; Eze 5:16

Maombolezo 2:20

Marejeo

  • +Yer 14:21
  • +Law 26:29; Kum 28:53; Yer 19:9; Omb 4:10; Eze 5:10
  • +Zb 78:64; Mt 23:35

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/2007, uku. 9

    8/1/1989, uku. 29

    9/1/1988, uku. 27

  • Fahirishi ya Machapisho

    w07 6/1 9

Maombolezo 2:21

Marejeo

  • +Kum 28:50; 2Nya 36:17
  • +Zb 18:42
  • +Yer 9:21; 18:21; Omb 1:15
  • +Yer 21:7
  • +Eze 9:6
  • +Kut 34:7; Yer 13:14; Omb 2:2; 3:43; Eze 5:11; 7:4

Maombolezo 2:22

Marejeo

  • +Kum 16:16
  • +Yer 46:5; Amo 9:1
  • +Kum 28:18; Yer 16:4; Ho. 9:12

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

Omb. 2:1Omb 3:44
Omb. 2:1Omb 2:15; Eze 16:14
Omb. 2:1Mt 11:23
Omb. 2:11Nya 28:2; Zb 99:5; 132:7; Isa 60:13
Omb. 2:2Kum 28:30; Omb 2:17; 3:43
Omb. 2:2Kum 28:52; Mik 5:11
Omb. 2:2Isa 25:12; 26:5
Omb. 2:2Zb 89:39; Isa 47:6; Eze 21:27
Omb. 2:2Isa 39:7; 43:28
Omb. 2:3Ayu 16:15; Zb 75:10
Omb. 2:3Zb 74:11
Omb. 2:3Kum 32:22; 2Fa 25:9; Zb 89:46; Isa 42:25; Yer 4:4; 7:20; Omb 4:11; Ebr 12:29
Omb. 2:42Fa 25:21; Omb 5:12
Omb. 2:4Isa 42:25; Yer 4:4
Omb. 2:4Yer 10:20
Omb. 2:4Ayu 6:4; Isa 63:10; Yer 21:5; 30:14
Omb. 2:4Kut 15:6
Omb. 2:4Kum 28:63
Omb. 2:5Yer 30:14
Omb. 2:52Nya 36:16
Omb. 2:52Fa 25:9; Yer 52:13; Ho. 8:14
Omb. 2:5Yer 5:17
Omb. 2:5Eze 2:10
Omb. 2:62Nya 36:19; Zb 78:60; Isa 63:18; 64:11
Omb. 2:6Zb 80:12; 89:40; Isa 1:8
Omb. 2:6Omb 1:4; Ho. 2:11; Sef 3:18
Omb. 2:6Ayu 34:19; Yer 52:24; Ro 2:11
Omb. 2:7Yer 52:18
Omb. 2:7Law 26:31; Yer 26:6; 52:13; Eze 24:21; Mik 3:12
Omb. 2:72Nya 36:19; Yer 32:29; Ho. 8:14
Omb. 2:7Zb 74:4
Omb. 2:82Fa 25:10; Yer 39:8
Omb. 2:82Fa 21:13; Isa 28:17; Amo 7:7
Omb. 2:8Ayu 13:21; Omb 2:2
Omb. 2:8Isa 3:26
Omb. 2:9Ne 1:3; Yer 14:2
Omb. 2:9Kum 28:36; 2Fa 24:15; 25:7; Isa 39:7; Yer 52:9; Omb 1:6; 4:20; Eze 12:13; Da 1:3
Omb. 2:92Nya 15:3; Eze 7:26
Omb. 2:9Zb 74:9; Yer 23:16; Omb 2:14; Eze 13:3
Omb. 2:10Isa 3:26; Yer 8:14; Omb 3:28; Amo 5:13
Omb. 2:10Yos 7:6; Ayu 2:12
Omb. 2:10Yer 6:26; Eze 7:18; 27:31
Omb. 2:10Omb 1:4
Omb. 2:11Zb 6:7; Omb 1:16; 3:48
Omb. 2:11Omb 1:20
Omb. 2:11Ayu 30:16
Omb. 2:11Isa 22:4; Yer 14:17
Omb. 2:11Yer 11:22; Omb 2:19; 4:4
Omb. 2:12Kum 28:51; 2Fa 25:3; Isa 3:1; Yer 18:21
Omb. 2:13Omb 1:12
Omb. 2:13Isa 51:19
Omb. 2:13Yer 8:21; 14:17; Da 9:12
Omb. 2:13Yer 30:12
Omb. 2:14Yer 2:8; 5:12, 31; 23:16; 27:14; 29:9; Eze 13:2
Omb. 2:14Isa 58:1; Yer 23:14
Omb. 2:14Yer 23:32; 27:9; Mik 3:5; Sef 3:4
Omb. 2:15Eze 25:6; Nah 3:19
Omb. 2:151Fa 9:8; Yer 18:16; 19:8; 25:9; Mik 6:16
Omb. 2:15Zb 22:7; 44:14; Mt 27:39; Mk 15:29
Omb. 2:15Zb 48:2; 50:2; Eze 16:14
Omb. 2:16Ayu 16:10; Zb 22:13; 35:21; 109:2
Omb. 2:16Ayu 16:9; Zb 37:12; Mdo 7:54
Omb. 2:16Isa 49:19; Yer 51:34
Omb. 2:16Mik 4:11
Omb. 2:16Zb 35:21; Oba 13
Omb. 2:17Yer 18:11; Mik 2:3
Omb. 2:172Fa 23:27; Isa 46:10; 55:11
Omb. 2:17Law 26:17; Kum 28:15
Omb. 2:17Eze 5:11; 7:9; 9:10
Omb. 2:17Zb 38:16; 89:42
Omb. 2:17Omb 1:5
Omb. 2:18Zb 119:145
Omb. 2:18Omb 2:8
Omb. 2:18Yer 9:1; 13:17; 14:17; Omb 1:16
Omb. 2:19Zb 119:148
Omb. 2:191Sa 1:15; Zb 62:8; 142:2
Omb. 2:19Zb 88:1; Da 9:3
Omb. 2:191Fa 8:54
Omb. 2:19Isa 51:20; Omb 4:9; Eze 5:16
Omb. 2:20Yer 14:21
Omb. 2:20Law 26:29; Kum 28:53; Yer 19:9; Omb 4:10; Eze 5:10
Omb. 2:20Zb 78:64; Mt 23:35
Omb. 2:21Kum 28:50; 2Nya 36:17
Omb. 2:21Zb 18:42
Omb. 2:21Yer 9:21; 18:21; Omb 1:15
Omb. 2:21Yer 21:7
Omb. 2:21Eze 9:6
Omb. 2:21Kut 34:7; Yer 13:14; Omb 2:2; 3:43; Eze 5:11; 7:4
Omb. 2:22Kum 16:16
Omb. 2:22Yer 46:5; Amo 9:1
Omb. 2:22Kum 28:18; Yer 16:4; Ho. 9:12
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Maombolezo 2:1-22

Maombolezo

א [ʼAʹleph]

2 Lo! jinsi Yehova katika hasira yake anavyomfunika kwa wingu binti Sayuni!+

Ameutupa chini uzuri wa Israeli+ kutoka mbinguni mpaka duniani.+

Naye hakumbuki kiti cha miguu+ yake katika siku ya hasira yake.

ב [Behth]

2 Yehova amemeza, hakuonyesha huruma juu ya makao+ yoyote ya Yakobo.

Katika hasira yake amebomoa ngome+ za binti Yuda.

Ameangusha chini,+ ametia unajisi ufalme+ na wakuu wake.+

ג [Giʹmel]

 3 Katika joto kali la hasira amekata kila pembe ya Israeli.+

Amerudisha mkono wake wa kuume kutoka mbele ya adui;+

Naye huendelea kuwaka katika Yakobo kama moto unaowaka ambao umeteketeza kuzunguka pande zote.+

ד [Daʹleth]

 4 Amekanyaga upinde wake kama adui.+ Mkono wake wa kuume+ umesimama mahali pake

Kama mpinzani,+ naye alizidi kuua wote wanaotamanika machoni.+

Kama moto, amemwaga ghadhabu+ yake katika hema+ la binti Sayuni.

ה [Heʼ]

 5 Yehova amekuwa kama adui.+ Amemeza Israeli.+

Amemeza minara yake yote ya makao;+ ameziharibu ngome zake.+

Naye hujaza vilio na maombolezo katika binti Yuda.+

ו [Waw]

 6 Naye hukitendea jeuri kibanda+ chake kama kile kilicho katika bustani.+ Ameiharibu sherehe yake.

Yehova amefanya sherehe+ na sabato kusahauliwa katika Sayuni,

Naye katika shutuma zake za hasira haheshimu mfalme wala kuhani.+

ז [Zaʹyin]

 7 Yehova ameitupilia mbali madhabahu yake.+ Patakatifu pake amepakataa kwa dharau.+

Ametia katika mkono wa adui kuta za minara ya makao yake.+

Wamepaaza sauti zao ndani ya nyumba ya Yehova, kama katika siku ya sherehe.+

ח [Chehth]

 8 Yehova amekusudia kuuharibu ukuta+ wa binti Sayuni.

Amenyoosha kamba ya kupimia.+ Hakurudisha mkono wake usimeze.+

Naye hufanya boma na ukuta kuomboleza.+ Zimedhoofika zote pamoja.

ט [Tehth]

 9 Malango+ yake yamezama chini kabisa. Ameharibu na kuvunja mapingo yake vipande-vipande.

Mfalme wake na wakuu wake wako kati ya mataifa.+ Hakuna sheria.+

Manabii wake pia hawakupata maono kutoka kwa Yehova.+

י [Yohdh]

10 Wanaume wazee wa binti Sayuni wanaketi chini, ambapo wamenyamaza.+

Wametia mavumbi juu ya vichwa vyao.+ Wamejifunga nguo za magunia.+

Mabikira wa Yerusalemu wameinamisha vichwa vyao chini kabisa.+

כ [Kaph]

11 Macho yangu yamechoka kabisa kwa machozi matupu.+ Matumbo yangu yako katika msukosuko.+

Ini langu limemwagwa chini kabisa,+ kwa sababu ya anguko la binti ya watu wangu,+

Kwa sababu ya kuzimia kwa mtoto mchanga na yule anayenyonya katika viwanja vya watu wote vya jiji.+

ל [Laʹmedh]

12 Waliendelea kuwaambia mama zao: “Iko wapi nafaka na divai?”+

Kwa sababu ya kuzimia kwao kama mtu aliyeuawa katika viwanja vya watu wote vya jiji,

Kwa sababu ya nafsi yao kumwagwa kwenye vifua vya mama zao.

מ [Mem]

13 Nitakutumia kama shahidi juu ya nini? Nitakufananisha na nini, Ee binti Yerusalemu?+

Nitakulinganisha na nini, ili nikufariji, Ee binti Sayuni uliye bikira?+

Kwa maana mvunjiko+ wako ni mkubwa kama bahari. Ni nani anayeweza kukuponya?+

נ [Nun]

14 Manabii wako mwenyewe wameona kwa ajili yako maono ya ubatili na vitu visivyotosheleza,+

Nao hawakufunua kosa lako ili kuirudisha hali yako ya mateka,+

Bali waliendelea kuona kwa ajili yako maono ya matangazo yasiyo na faida na yanayopotosha.+

ס [Saʹmekh]

15 Wote wanaopita barabarani wamekupigia makofi.+

Wamepiga mluzi+ wa mshangao na kuendelea kutikisa vichwa+ vyao kwa sababu ya binti Yerusalemu, wakisema:

“Je, hili ndilo lile jiji ambalo walikuwa wakisema hivi kwa habari zake, ‘Hili ndilo ukamilifu wa uzuri, furaha ya dunia yote’?”+

פ [Peʼ]

16 Adui zako wote wamefungua vinywa vyao juu yako.+

Wamepiga mluzi wa mshangao na kuendelea kusaga meno.+ Wamesema: “Tutammeza.+

Kweli hii ndiyo siku ambayo tumeitumaini.+ Tumepata! Tumeona!”+

ע [ʽAʹyin]

17 Yehova amefanya alilokuwa nalo akilini mwake.+ Ametimiza neno lake,+

Aliloamuru tangu siku za kale.+ Amebomoa wala hakuonyesha huruma.+

Naye hufanya adui ashangilie juu yako.+ Ameinua juu pembe ya adui zako.+

צ [Tsa·dhehʹ]

18 Moyo wao umemlilia Yehova,+ Ee ukuta wa binti Sayuni.+

Yatiririshe machozi kama mto mchana na usiku.+

Usife ganzi. Mboni ya jicho lako isikae kimya.

ק [Qohph]

19 Simama! Lia wakati wa usiku mwanzoni mwa makesha ya kuamkia asubuhi.+

Mwaga moyo+ wako mbele za uso+ wa Yehova kama maji.

Mwinulie mikono+ yako kwa sababu ya nafsi ya watoto wako,

Wanaozimia kwa sababu ya njaa kwenye sehemu ya mbele ya barabara zote.+

ר [Rehsh]

20 Tazama, Ee Yehova, nawe umwone+ yule ambaye umemtendea vikali namna hii.

Je, wanawake waendelee kula uzao wao wenyewe, watoto waliozaliwa wakiwa wamekomaa,+

Au, je, kuhani na nabii wauawe ndani ya patakatifu pa Yehova?+

ש [Shin]

21 Mvulana na mwanamume mzee+ wamelala chini katika mavumbi ya barabara.+

Mabikira wangu na vijana wangu wenyewe wameanguka kwa upanga.+

Umeua katika siku ya hasira yako.+ Umechinja;+ hukuwa na huruma.+

ת [Taw]

22 Umeyaita makao yangu ya kigeni kuzunguka pande zote kama katika siku ya sherehe.+

Na katika siku ya ghadhabu ya Yehova hapakuwa na yeyote mwenye kuponyoka wala mwenye kuokoka;+

Wale ambao nilizaa wakiwa wamekomaa na kuwalea, adui yangu aliwaangamiza.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki