2 Mambo ya Nyakati 15:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na kwa siku nyingi Israeli+ hawakuwa na Mungu wa kweli wala kuhani mwenye kufundisha+ wala Sheria. Ezekieli 7:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Shida itakuja juu ya shida,+ na kutakuwa na habari juu ya habari, na hakika watu watatafuta maono kutoka kwa nabii,+ na sheria yenyewe itaangamia kutoka kwa kuhani na shauri kutoka kwa wanaume wazee.+
26 Shida itakuja juu ya shida,+ na kutakuwa na habari juu ya habari, na hakika watu watatafuta maono kutoka kwa nabii,+ na sheria yenyewe itaangamia kutoka kwa kuhani na shauri kutoka kwa wanaume wazee.+