Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 21:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Basi watu wa jiji lake, wanaume wazee na watu wenye vyeo waliokuwa wakikaa katika jiji lake, wakafanya kama vile Yezebeli alivyokuwa ametuma ujumbe kwao, kama ilivyoandikwa katika zile barua alizowatumia.+

  • Zaburi 74:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Hatujaona ishara zetu; hakuna nabii tena,+

      Wala hakuna yeyote kwetu anayejua ni kwa muda gani.

  • Yeremia 18:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Nao wakasema: “Njooni, tutafakari juu ya Yeremia wazo fulani,+ kwa maana sheria haitaangamia kutoka kwa kuhani+ au shauri kutoka kwa mwenye hekima au neno kutoka kwa nabii.+ Njooni tumpige kwa ulimi,+ nasi tusisikilize lolote la maneno yake.”

  • Maombolezo 2:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Malango+ yake yamezama chini kabisa. Ameharibu na kuvunja mapingo yake vipande-vipande.

      Mfalme wake na wakuu wake wako kati ya mataifa.+ Hakuna sheria.+

      Manabii wake pia hawakupata maono kutoka kwa Yehova.+

  • Ezekieli 20:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “Mwana wa binadamu, sema na wanaume wazee wa Israeli, nawe utawaambia, ‘Hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema: “Je, mnakuja kuuliza neno juu yangu?+ ‘Kama ninavyoishi, hamtauliza neno juu yangu,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.” ’

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki