3Wakati huo wote mvulana Samweli alikuwa akimhudumia+ Yehova mbele ya Eli, na neno kutoka kwa Yehova+ lilikuwa limekuwa haba siku hizo;+ hakuna maono+ yoyote yaliyokuwa yakienezwa kotekote.
11 “ ‘Tazama! Siku zinakuja,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, ‘nami nitaleta njaa katika nchi, wala si njaa ya mkate, nami nitaleta kiu, wala si kiu ya maji, bali ya kuyasikia maneno ya Yehova.+