3Wakati huo wote mvulana Samweli alikuwa akimhudumia+ Yehova mbele ya Eli, na neno kutoka kwa Yehova+ lilikuwa limekuwa haba siku hizo;+ hakuna maono+ yoyote yaliyokuwa yakienezwa kotekote.
26 Shida itakuja juu ya shida,+ na kutakuwa na habari juu ya habari, na hakika watu watatafuta maono kutoka kwa nabii,+ na sheria yenyewe itaangamia kutoka kwa kuhani na shauri kutoka kwa wanaume wazee.+