Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 3:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Wakati huo wote mvulana Samweli alikuwa akimhudumia+ Yehova mbele ya Eli, na neno kutoka kwa Yehova+ lilikuwa limekuwa haba siku hizo;+ hakuna maono+ yoyote yaliyokuwa yakienezwa kotekote.

  • Zaburi 74:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Hatujaona ishara zetu; hakuna nabii tena,+

      Wala hakuna yeyote kwetu anayejua ni kwa muda gani.

  • Ezekieli 7:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Shida itakuja juu ya shida,+ na kutakuwa na habari juu ya habari, na hakika watu watatafuta maono kutoka kwa nabii,+ na sheria yenyewe itaangamia kutoka kwa kuhani na shauri kutoka kwa wanaume wazee.+

  • Mathayo 4:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Lakini akajibu na kusema: “Imeandikwa, ‘Mwanadamu ataishi, si kwa mkate tu, bali kwa kila neno linalotoka katika kinywa cha Yehova.’ ”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki