1 Samweli 2:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Basi Elkana akaenda Rama nyumbani kwake; na yule mvulana akawa mhudumu+ wa Yehova mbele ya Eli kuhani. 1 Samweli 2:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Naye Samweli alikuwa akihudumu+ mbele za Yehova, akiwa mvulana, amejifunga efodi ya kitani.+
11 Basi Elkana akaenda Rama nyumbani kwake; na yule mvulana akawa mhudumu+ wa Yehova mbele ya Eli kuhani.