1 Samweli 22:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Mwishowe mfalme akamwambia Doegi:+ “Wewe geuka, uwashambulie makuhani!” Mara moja Doegi Mwedomu+ akageuka yeye mwenyewe na kuwashambulia hao makuhani, na siku hiyo akawaua+ watu 85 wenye kuvaa efodi+ ya kitani. 2 Samweli 6:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Naye Daudi alikuwa anacheza dansi mbele za Yehova kwa nguvu zake zote, na wakati huo wote Daudi alikuwa amejifunga efodi+ ya kitani.
18 Mwishowe mfalme akamwambia Doegi:+ “Wewe geuka, uwashambulie makuhani!” Mara moja Doegi Mwedomu+ akageuka yeye mwenyewe na kuwashambulia hao makuhani, na siku hiyo akawaua+ watu 85 wenye kuvaa efodi+ ya kitani.
14 Naye Daudi alikuwa anacheza dansi mbele za Yehova kwa nguvu zake zote, na wakati huo wote Daudi alikuwa amejifunga efodi+ ya kitani.