1 Samweli 22:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Basi mfalme akamwambia Doegi:+ “Wewe geuka uwashambulie makuhani!” Mara moja Doegi Mwedomu+ akageuka na kuwashambulia hao makuhani yeye mwenyewe. Siku hiyo aliwaua wanaume 85 waliovaa efodi ya kitani.+
18 Basi mfalme akamwambia Doegi:+ “Wewe geuka uwashambulie makuhani!” Mara moja Doegi Mwedomu+ akageuka na kuwashambulia hao makuhani yeye mwenyewe. Siku hiyo aliwaua wanaume 85 waliovaa efodi ya kitani.+