Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 25:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Kwa hiyo Esau akamwambia Yakobo: “Haraka, tafadhali, nipe nimeze chekundu—chekundu hicho, kwa maana nimechoka!” Hiyo ndiyo sababu jina lake lilikuwa Edomu.+

  • Mwanzo 36:43
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 43 shehe Magdieli, shehe Iramu. Hao ndio mashehe wa Edomu+ kulingana na makao yao katika nchi yao.+ Huyu ndiye Esau baba ya Edomu.+

  • Hesabu 24:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na Edomu itakuwa miliki,+

      Naam, Seiri+ itakuwa miliki ya adui zake,+

      Huku Israeli akionyesha uhodari wake.

  • 2 Wafalme 8:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Basi Yehoramu akavuka mpaka Sairi, pia magari yote pamoja naye. Na ikawa kwamba yeye akaondoka wakati wa usiku, akawapiga na kuwaua Waedomu waliokuwa wamemzunguka na wale wakuu wa magari; na watu wakakimbia kwenda katika mahema yao.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki