Mwanzo 25:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Kwa hiyo Esau akamwambia Yakobo: “Haraka, tafadhali, nipe nimeze chekundu—chekundu hicho, kwa maana nimechoka!” Hiyo ndiyo sababu jina lake lilikuwa Edomu.+ Mwanzo 36:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Basi Esau akaanza kukaa katika eneo lenye milima la Seiri.+ Esau ni Edomu.+
30 Kwa hiyo Esau akamwambia Yakobo: “Haraka, tafadhali, nipe nimeze chekundu—chekundu hicho, kwa maana nimechoka!” Hiyo ndiyo sababu jina lake lilikuwa Edomu.+