37 Lakini Isaka akamjibu Esau na kuendelea kusema: “Tazama nimemweka awe bwana juu yako,+ na ndugu zake wote nimempa kuwa watumishi,+ na nafaka na divai mpya nimetoa ili kumtegemeza,+ basi liko wapi lolote ninaloweza kukufanyia, mwanangu?”
14 Naye akaweka kambi za kijeshi katika Edomu.+ Katika Edomu yote akaweka kambi za kijeshi, na Waedomu wote wakawa watumishi wa Daudi;+ na Yehova akaendelea kumwokoa Daudi popote alipoenda.+
5 “Kwa maana upanga+ wangu hakika utaloweshwa mbinguni. Tazama! Utashuka juu ya Edomu,+ na juu ya watu ambao nimewatenga ili niwaangamize+ katika haki.