Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32:41
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 41 Kwa kweli nikiunoa upanga wangu unaometameta,+

      Na mkono wangu ushike hukumu,+

      Nitawalipa kisasi wapinzani wangu+

      Na kutoa malipo kwa wale wanaonichukia vikali.+

  • Zaburi 17:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Usimame, Ee Yehova; umkabili usoni;+

      Mfanye ainame; kwa upanga wako uiokoe nafsi yangu kutoka kwa mwovu,+

  • Yeremia 46:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “Na siku ile ni ya Bwana Mwenye Enzi Kuu, Yehova wa majeshi, siku yake ya kisasi ya kujilipizia kisasi juu ya adui zake.+ Na hakika upanga utakula na kushiba na kujijaza damu yao, kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu,+ Yehova wa majeshi, ana dhabihu+ katika nchi ya kaskazini kando ya mto Efrati.+

  • Ezekieli 21:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Nawe utauambia udongo wa Israeli, ‘Yehova amesema hivi: “Tazama, niko juu yako,+ nami nitauchomoa upanga wangu katika ala+ yake na kumkatilia mbali kutoka kwako mwadilifu na mwovu.+

  • Sefania 2:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Ninyi pia, Waethiopia,+ mtakuwa watu waliouawa kwa upanga wangu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki