10 “Na siku ile ni ya Bwana Mwenye Enzi Kuu, Yehova wa majeshi, siku yake ya kisasi ya kujilipizia kisasi juu ya adui zake.+ Na hakika upanga utakula na kushiba na kujijaza damu yao, kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu,+ Yehova wa majeshi, ana dhabihu+ katika nchi ya kaskazini kando ya mto Efrati.+
3 Nawe utauambia udongo wa Israeli, ‘Yehova amesema hivi: “Tazama, niko juu yako,+ nami nitauchomoa upanga wangu katika ala+ yake na kumkatilia mbali kutoka kwako mwadilifu na mwovu.+