Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32:42
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 42 Nitailewesha mishale yangu kwa damu,+

      Nao upanga wangu utakula nyama,+

      Kwa damu ya waliouawa na mateka,

      Kwa vichwa vya viongozi wa adui.’+

  • Isaya 34:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Yehova ana upanga; nao utajazwa damu;+ utalainishwa kwa mafuta, kwa damu ya wana-kondoo dume na mbuzi-dume, kwa mafuta+ ya figo za kondoo-dume. Kwa maana Yehova ana dhabihu katika Bosra, na machinjo makubwa katika nchi ya Edomu.+

  • Ezekieli 39:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “Na wewe, Ee mwana wa binadamu, Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Sema na ndege wa kila namna ya bawa na wanyama wote wa mwituni:+ “Kusanyikeni pamoja na mje. Jikusanyeni pamoja pande zote kwenye dhabihu yangu, ambayo ninatoa kwa ajili yenu, dhabihu kubwa juu ya milima ya Israeli.+ Nanyi hakika mtakula nyama na kunywa damu.+

  • Sefania 1:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kaa kimya mbele za Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova;+ kwa maana siku ya Yehova iko karibu,+ kwa maana Yehova ametayarisha dhabihu;+ amewatakasa+ watu wake walioalikwa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki