Yoshua 10:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Ndipo Yoshua akapata habari, ikisema: “Wale wafalme watano wamepatikana wakiwa wamejificha katika pango kule Makeda.”+ Yoshua 10:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Kisha Yoshua akawapiga na kuwaua, akawatundika juu ya miti mitano, nao wakaendelea kuning’inia juu ya miti hiyo mpaka jioni.+ 1 Samweli 15:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Hata hivyo, Samweli akasema: “Kama vile upanga wako+ ulivyofanya wanawake kufiwa na watoto, vivyo hivyo mama+ yako atafiwa zaidi na watoto kati ya wanawake.”+ Kwa hiyo Samweli akamkata Agagi vipande-vipande mbele za Yehova katika Gilgali.+
17 Ndipo Yoshua akapata habari, ikisema: “Wale wafalme watano wamepatikana wakiwa wamejificha katika pango kule Makeda.”+
26 Kisha Yoshua akawapiga na kuwaua, akawatundika juu ya miti mitano, nao wakaendelea kuning’inia juu ya miti hiyo mpaka jioni.+
33 Hata hivyo, Samweli akasema: “Kama vile upanga wako+ ulivyofanya wanawake kufiwa na watoto, vivyo hivyo mama+ yako atafiwa zaidi na watoto kati ya wanawake.”+ Kwa hiyo Samweli akamkata Agagi vipande-vipande mbele za Yehova katika Gilgali.+