7 Kwa hiyo Adoni-bezeki akasema: “Kumekuwa na wafalme 70 wakiokota chakula chini ya meza yangu, ambao vidole gumba vya mikono yao na vidole vikubwa vya miguu yao vimekatwa. Mungu amenilipa kulingana na matendo yangu.”+ Baadaye wakamleta Yerusalemu+ naye akafia huko.