Mathayo 18:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Ndipo bwana wake, akiwa na ghadhabu,+ akamtia mikononi mwa walinzi wa jela, mpaka alipe deni lake lote. Yakobo 2:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa maana yeye asiye na mazoea ya kuonyesha rehema atapata hukumu yake bila rehema.+ Rehema hufurahi kwa njia ya ushindi juu ya hukumu.
34 Ndipo bwana wake, akiwa na ghadhabu,+ akamtia mikononi mwa walinzi wa jela, mpaka alipe deni lake lote.
13 Kwa maana yeye asiye na mazoea ya kuonyesha rehema atapata hukumu yake bila rehema.+ Rehema hufurahi kwa njia ya ushindi juu ya hukumu.