Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 21:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Yeyote anayeziba sikio lake asisikie kilio cha kulalamika cha mtu wa hali ya chini,+ yeye mwenyewe ataita wala hatajibiwa.+

  • Isaya 3:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Ole wake mtu mwovu!—Msiba; kwa maana matendo yaliyotendwa kwa mikono yake mwenyewe atalipwa yeye!+

  • Mathayo 5:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Wenye furaha ni wale walio na rehema,+ kwa kuwa wataonyeshwa rehema.

  • Mathayo 6:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 lakini ikiwa hamtawasamehe watu makosa yao, Baba yenu naye hatawasamehe makosa yenu.+

  • Luka 6:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Endeleeni kuwa wenye rehema, kama vile Baba yenu alivyo mwenye rehema.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki