Methali 21:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Yeyote anayeziba sikio lake asisikie kilio cha kulalamika cha mtu wa hali ya chini,+ yeye mwenyewe ataita wala hatajibiwa.+ Isaya 3:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ole wake mtu mwovu!—Msiba; kwa maana matendo yaliyotendwa kwa mikono yake mwenyewe atalipwa yeye!+ Mathayo 5:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “Wenye furaha ni wale walio na rehema,+ kwa kuwa wataonyeshwa rehema. Mathayo 6:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 lakini ikiwa hamtawasamehe watu makosa yao, Baba yenu naye hatawasamehe makosa yenu.+ Luka 6:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Endeleeni kuwa wenye rehema, kama vile Baba yenu alivyo mwenye rehema.+
13 Yeyote anayeziba sikio lake asisikie kilio cha kulalamika cha mtu wa hali ya chini,+ yeye mwenyewe ataita wala hatajibiwa.+
11 Ole wake mtu mwovu!—Msiba; kwa maana matendo yaliyotendwa kwa mikono yake mwenyewe atalipwa yeye!+