Zaburi 18:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Wanalia wapate msaada, lakini hakuna mwokozi,+Kwa Yehova, lakini yeye hawajibu.+ Methali 1:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Wakati huo wataendelea kuniita, lakini sitaitika;+ wataendelea kunitafuta, lakini hawatanipata,+ Maombolezo 3:44 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 44 Umeweka kizuizi cha wingu kubwa usiweze kufikiwa,+ ili sala isiweze kupenya.+