Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 80:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Ee Yehova Mungu wa majeshi, utaendelea kuwaka hasira juu ya sala ya watu wako mpaka wakati gani?+

  • Methali 15:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Yehova yuko mbali sana na waovu,+ lakini huisikia sala ya waadilifu.+

  • Methali 28:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Anayegeuzia mbali sikio lake asiisikie sheria+—hata sala yake ni chukizo.+

  • Isaya 1:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Nanyi mnaponyoosha mikono yenu,+ mimi huficha macho yangu kutoka kwenu.+ Hata mjapotoa sala nyingi,+ mimi sisikilizi;+ mikono yenu imejaa umwagaji wa damu.+

  • Yeremia 14:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na Yehova akaniambia: “Usisali kwa ajili ya watu hawa wapate mema yoyote.+

  • Mika 3:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Wakati huo watamwomba Yehova msaada, lakini hatawajibu.+ Naye atauficha uso wake kutoka kwao wakati huo,+ kulingana na walivyotenda ubaya kwa matendo yao.+

  • Zekaria 7:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 “ ‘Basi ikawa kwamba, kama vile alivyoita wala hawakusikiliza,+ vivyo hivyo wao waliita na mimi sikusikiliza,’+ Yehova wa majeshi amesema.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki