Zaburi 80:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ee Yehova Mungu wa majeshi, utaendelea kuwaka hasira juu ya sala ya watu wako mpaka wakati gani?+ Methali 15:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Yehova yuko mbali sana na waovu,+ lakini huisikia sala ya waadilifu.+ Methali 28:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Anayegeuzia mbali sikio lake asiisikie sheria+—hata sala yake ni chukizo.+ Isaya 1:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Nanyi mnaponyoosha mikono yenu,+ mimi huficha macho yangu kutoka kwenu.+ Hata mjapotoa sala nyingi,+ mimi sisikilizi;+ mikono yenu imejaa umwagaji wa damu.+ Yeremia 14:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na Yehova akaniambia: “Usisali kwa ajili ya watu hawa wapate mema yoyote.+ Mika 3:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Wakati huo watamwomba Yehova msaada, lakini hatawajibu.+ Naye atauficha uso wake kutoka kwao wakati huo,+ kulingana na walivyotenda ubaya kwa matendo yao.+ Zekaria 7:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 “ ‘Basi ikawa kwamba, kama vile alivyoita wala hawakusikiliza,+ vivyo hivyo wao waliita na mimi sikusikiliza,’+ Yehova wa majeshi amesema.
15 Nanyi mnaponyoosha mikono yenu,+ mimi huficha macho yangu kutoka kwenu.+ Hata mjapotoa sala nyingi,+ mimi sisikilizi;+ mikono yenu imejaa umwagaji wa damu.+
4 Wakati huo watamwomba Yehova msaada, lakini hatawajibu.+ Naye atauficha uso wake kutoka kwao wakati huo,+ kulingana na walivyotenda ubaya kwa matendo yao.+
13 “ ‘Basi ikawa kwamba, kama vile alivyoita wala hawakusikiliza,+ vivyo hivyo wao waliita na mimi sikusikiliza,’+ Yehova wa majeshi amesema.