1 Wafalme 8:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Na Sulemani akaanza kusimama mbele ya madhabahu+ ya Yehova mbele ya kutaniko lote la Israeli, naye sasa akanyoosha mikono yake kuelekea mbinguni;+ Ezra 9:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na wakati wa toleo la nafaka+ la jioni nikasimama kutoka kwenye fedheha yangu, vazi langu na koti langu likiwa limepasuliwa, kisha nikainama nikapiga magoti+ na kumnyooshea mikono Yehova Mungu wangu.+
22 Na Sulemani akaanza kusimama mbele ya madhabahu+ ya Yehova mbele ya kutaniko lote la Israeli, naye sasa akanyoosha mikono yake kuelekea mbinguni;+
5 Na wakati wa toleo la nafaka+ la jioni nikasimama kutoka kwenye fedheha yangu, vazi langu na koti langu likiwa limepasuliwa, kisha nikainama nikapiga magoti+ na kumnyooshea mikono Yehova Mungu wangu.+