Ezra 9:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Wakati wa toleo la nafaka la jioni,+ niliinuka kutoka mahali nilipokuwa nimeketi kwa aibu, vazi langu na joho langu lisilo na mikono likiwa limeraruka, nikapiga magoti na kumnyooshea mikono Yehova Mungu wangu.
5 Wakati wa toleo la nafaka la jioni,+ niliinuka kutoka mahali nilipokuwa nimeketi kwa aibu, vazi langu na joho langu lisilo na mikono likiwa limeraruka, nikapiga magoti na kumnyooshea mikono Yehova Mungu wangu.