Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 9:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Basi Musa akamwambia: “Mara tu nitakapoondoka jijini nitamnyooshea Yehova mikono yangu.+ Mingurumo itakoma nayo mvua ya mawe haitaendelea tena, ili upate kujua kwamba dunia ni ya Yehova.+

  • Ezra 9:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na wakati wa toleo la nafaka+ la jioni nikasimama kutoka kwenye fedheha yangu, vazi langu na koti langu likiwa limepasuliwa, kisha nikainama nikapiga magoti+ na kumnyooshea mikono Yehova Mungu wangu.+

  • Zaburi 63:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Kwa hiyo nitakusifu muda wote wa maisha yangu;+

      Katika jina lako nitaiinua mikono yangu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki