29 Basi Musa akamwambia: “Mara tu nitakapoondoka jijini nitamnyooshea Yehova mikono yangu.+ Mingurumo itakoma nayo mvua ya mawe haitaendelea tena, ili upate kujua kwamba dunia ni ya Yehova.+
5 Na wakati wa toleo la nafaka+ la jioni nikasimama kutoka kwenye fedheha yangu, vazi langu na koti langu likiwa limepasuliwa, kisha nikainama nikapiga magoti+ na kumnyooshea mikono Yehova Mungu wangu.+