Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 10:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Tazama, mbingu, naam, mbingu za mbingu,+ dunia+ na vyote vilivyomo, ni mali ya Yehova.

  • Zaburi 24:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Dunia na vyote vinavyoijaza ni vya Yehova,+

      Nchi yenye kuzaa na wale wanaokaa ndani yake.+

  • Zaburi 50:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Ningalikuwa na njaa, singalikuambia;

      Kwa maana nchi yenye kuzaa+ na vyote vinavyoijaza ni vyangu.+

  • 1 Wakorintho 10:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 kwa maana “dunia na vyote vinavyoijaza+ ni vya Yehova.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki