Zaburi
Ya Daudi. Muziki.
3 Ni nani anayeweza kuupanda mlima wa Yehova,+
Na ni nani anayeweza kusimama katika mahali pake patakatifu?+
4 Yeyote asiye na hatia katika mikono yake na aliye safi moyoni,+
Ambaye hajaitendea nafsi Yangu kwa ubatili mtupu,+
Wala kuapa kwa udanganyifu.+
6 Hiki ndicho kizazi cha wale wanaomtafuta,
Cha wale wanaoutafuta uso wako, Ee Mungu wa Yakobo.+ Sela.
Ili Mfalme mtukufu apate kuingia!”+
8 “Basi, Mfalme huyo mtukufu ni nani?”+
“Yehova mwenye nguvu na mwenye uwezo,+
Yehova mwenye uwezo katika vita.”+