11 Ee Yehova, ukuu+ ni wako na nguvu+ na uzuri+ na utukufu+ na heshima;+ kwa maana kila kitu mbinguni na duniani ni chako.+ Ufalme+ ni wako, Ee Yehova, Wewe unayejiinua kuwa kichwa juu ya wote.+
5 Nami nikasema: “Ole wangu! Kwa maana ni kama nimenyamazishwa, kwa sababu mimi ni mtu asiye na midomo safi,+ nami ninakaa katikati ya watu wasio na midomo safi;+ kwa maana macho yangu yamemwona Mfalme, Yehova wa majeshi, mwenyewe!”+