Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 32:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Basi Yakobo akapaita mahali hapo Penieli,+ kwa sababu, kama alivyosema, “Mimi nimemwona Mungu uso kwa uso na bado nafsi yangu ikakombolewa.”+

  • Kutoka 33:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Naye akaongezea: “Huwezi kuuona uso wangu, kwa sababu hakuna mwanadamu anayeweza kuniona na bado aishi.”+

  • Waamuzi 6:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kwa hiyo Gideoni akatambua kwamba alikuwa ni malaika wa Yehova.+

      Mara moja Gideoni akasema: “Ole wangu, Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, kwa sababu nimeona malaika wa Yehova uso kwa uso!”+

  • Waamuzi 13:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Basi Manoa akamwambia mke wake: “Hakika tutakufa,+ kwa sababu yule ambaye tumemwona ni Mungu.”+

  • Yohana 1:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Hakuna mwanadamu ambaye amemwona Mungu wakati wowote;+ mungu mzaliwa-pekee+ aliye kifuani+ pa Baba, ndiye ambaye ameeleza juu yake.+

  • Yohana 4:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Mungu ni Roho,+ na wale wanaomwabudu lazima wamwabudu kwa roho na kweli.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki