Mwanzo 32:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Basi Yakobo akapaita mahali hapo Penieli,+ kwa sababu, kama alivyosema, “Mimi nimemwona Mungu uso kwa uso na bado nafsi yangu ikakombolewa.”+ Kutoka 33:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Naye akaongezea: “Huwezi kuuona uso wangu, kwa sababu hakuna mwanadamu anayeweza kuniona na bado aishi.”+ Waamuzi 6:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa hiyo Gideoni akatambua kwamba alikuwa ni malaika wa Yehova.+ Mara moja Gideoni akasema: “Ole wangu, Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, kwa sababu nimeona malaika wa Yehova uso kwa uso!”+ Waamuzi 13:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Basi Manoa akamwambia mke wake: “Hakika tutakufa,+ kwa sababu yule ambaye tumemwona ni Mungu.”+ Yohana 1:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Hakuna mwanadamu ambaye amemwona Mungu wakati wowote;+ mungu mzaliwa-pekee+ aliye kifuani+ pa Baba, ndiye ambaye ameeleza juu yake.+ Yohana 4:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Mungu ni Roho,+ na wale wanaomwabudu lazima wamwabudu kwa roho na kweli.”+
30 Basi Yakobo akapaita mahali hapo Penieli,+ kwa sababu, kama alivyosema, “Mimi nimemwona Mungu uso kwa uso na bado nafsi yangu ikakombolewa.”+
20 Naye akaongezea: “Huwezi kuuona uso wangu, kwa sababu hakuna mwanadamu anayeweza kuniona na bado aishi.”+
22 Kwa hiyo Gideoni akatambua kwamba alikuwa ni malaika wa Yehova.+ Mara moja Gideoni akasema: “Ole wangu, Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, kwa sababu nimeona malaika wa Yehova uso kwa uso!”+
18 Hakuna mwanadamu ambaye amemwona Mungu wakati wowote;+ mungu mzaliwa-pekee+ aliye kifuani+ pa Baba, ndiye ambaye ameeleza juu yake.+