Mwanzo 16:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Baadaye malaika wa Yehova+ akamkuta kwenye chemchemi ya maji nyikani, kwenye chemchemi iliyo njiani kuelekea Shuri.+ Mwanzo 16:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ndipo akaanza kuliita jina la Yehova, aliyekuwa akisema naye: “Wewe ni Mungu mwenye kuona,”+ kwa kuwa alisema: “Je, kweli hapa nimemtazama yeye anayeniona?” Mwanzo 32:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Mwishowe Yakobo akabaki peke yake. Ndipo mwanamume mmoja akaanza kupigana mweleka pamoja naye mpaka kulipopambazuka.+ Mwanzo 32:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Basi Yakobo akapaita mahali hapo Penieli,+ kwa sababu, kama alivyosema, “Mimi nimemwona Mungu uso kwa uso na bado nafsi yangu ikakombolewa.”+ Waamuzi 13:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Basi Manoa akamwambia mke wake: “Hakika tutakufa,+ kwa sababu yule ambaye tumemwona ni Mungu.”+ Luka 1:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Lakini Zekaria akataabishwa na jambo hilo aliloona, na woga ukamwingia.+
7 Baadaye malaika wa Yehova+ akamkuta kwenye chemchemi ya maji nyikani, kwenye chemchemi iliyo njiani kuelekea Shuri.+
13 Ndipo akaanza kuliita jina la Yehova, aliyekuwa akisema naye: “Wewe ni Mungu mwenye kuona,”+ kwa kuwa alisema: “Je, kweli hapa nimemtazama yeye anayeniona?”
24 Mwishowe Yakobo akabaki peke yake. Ndipo mwanamume mmoja akaanza kupigana mweleka pamoja naye mpaka kulipopambazuka.+
30 Basi Yakobo akapaita mahali hapo Penieli,+ kwa sababu, kama alivyosema, “Mimi nimemwona Mungu uso kwa uso na bado nafsi yangu ikakombolewa.”+