Waamuzi 6:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa hiyo Gideoni akatambua kwamba alikuwa ni malaika wa Yehova.+ Mara moja Gideoni akasema: “Ole wangu, Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, kwa sababu nimeona malaika wa Yehova uso kwa uso!”+ Danieli 10:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Mimi nami—niliachwa peke yangu, nikaona hayo maono makubwa. Na ndani yangu hazikubaki nguvu zozote, na sura yangu ikabadilika na kuharibika, wala sikubaki na nguvu zozote.+ Matendo 10:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Mtu huyo akamtazama na, akiogopa, akasema: “Ni nini, Bwana?” Akamwambia: “Sala+ na zawadi zako za rehema zimepanda kama ukumbusho mbele za Mungu.+ Ufunuo 1:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Nami nilipomwona, nikaanguka kana kwamba nimekufa miguuni pake. Naye akaweka mkono wake wa kuume juu yangu na kusema: “Usiogope.+ Mimi ndiye wa Kwanza+ na wa Mwisho,+
22 Kwa hiyo Gideoni akatambua kwamba alikuwa ni malaika wa Yehova.+ Mara moja Gideoni akasema: “Ole wangu, Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, kwa sababu nimeona malaika wa Yehova uso kwa uso!”+
8 Mimi nami—niliachwa peke yangu, nikaona hayo maono makubwa. Na ndani yangu hazikubaki nguvu zozote, na sura yangu ikabadilika na kuharibika, wala sikubaki na nguvu zozote.+
4 Mtu huyo akamtazama na, akiogopa, akasema: “Ni nini, Bwana?” Akamwambia: “Sala+ na zawadi zako za rehema zimepanda kama ukumbusho mbele za Mungu.+
17 Nami nilipomwona, nikaanguka kana kwamba nimekufa miguuni pake. Naye akaweka mkono wake wa kuume juu yangu na kusema: “Usiogope.+ Mimi ndiye wa Kwanza+ na wa Mwisho,+