Matendo 26:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 kwamba Kristo angeteseka+ na, akiwa wa kwanza kufufuliwa+ kutoka kwa wafu, angetangaza nuru+ kwa watu hawa na pia kwa mataifa.”+ Wakolosai 1:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 naye ndiye kichwa cha mwili, kutaniko.+ Yeye ndiye mwanzo, mzaliwa wa kwanza kutoka kwa wafu,+ ili yeye awe ndiye wa kwanza+ katika vitu vyote; Ufunuo 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 na kutoka kwa Yesu Kristo, “Shahidi Mwaminifu,”+ “Mzaliwa wa kwanza kutoka kwa wafu,”+ na “Mtawala wa wafalme wa dunia.”+ Kwake yeye anayetupenda+ na aliyetufungua kutoka katika dhambi zetu kupitia damu yake mwenyewe+—
23 kwamba Kristo angeteseka+ na, akiwa wa kwanza kufufuliwa+ kutoka kwa wafu, angetangaza nuru+ kwa watu hawa na pia kwa mataifa.”+
18 naye ndiye kichwa cha mwili, kutaniko.+ Yeye ndiye mwanzo, mzaliwa wa kwanza kutoka kwa wafu,+ ili yeye awe ndiye wa kwanza+ katika vitu vyote;
5 na kutoka kwa Yesu Kristo, “Shahidi Mwaminifu,”+ “Mzaliwa wa kwanza kutoka kwa wafu,”+ na “Mtawala wa wafalme wa dunia.”+ Kwake yeye anayetupenda+ na aliyetufungua kutoka katika dhambi zetu kupitia damu yake mwenyewe+—