10 Na itakuwa katika siku hiyo+ kwamba patakuwa na mzizi wa Yese+ ambao utakuwa unasimama kuwa ishara kwa ajili ya vikundi vya watu.+ Mataifa yatamtafuta yeye ili kuuliza habari zake,+ na mahali pake pa kupumzikia patakuwa patukufu.+
15 vivyo hivyo atayashtua mataifa mengi.+ Wafalme watafunga kinywa chao mbele yake,+ kwa sababu kwa kweli wataona yale ambayo hawakuwa wamepata kusimuliwa, nao watafikiria mambo ambayo hawakuwa wamepata kusikia.+